OTEAS Online Application 2026
Maelekezo.
- Tafadhali chagua aina ya maombi ya ajira kama ni AFYA au ELIMU
- Kama ni muombaji mpya bofya kiunganishi cha juu kulia “Jisajili” kuanza kuomba
- Ingiza namba ya NIDA au barua pepe kama jina la mtumiaji na uingize nywila yako kuingia ndani ya mfumo.
- Baada ya kufanikiwa kuingia ndani, tafadhali kamilisha maombi yako kabla ya tarehe ya mwisho
- Maombi yasiyokamilika hayatafanyiwa kazi
- Hakikisha kabla ya kutuma maombi umesoma na kuelewa vizuri tangazo lilotolewa
- Hakikisha vyeti ulivyo ambatanisha vinasomeka vizuri
- Kuwasilisha taarifa za kughushi zitapelekea kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi yako
- Bofya hapa ili ujisajili kwa ajili ya kutuma maombi
DOWNLOAD PDF FILE HAPA
Kwa Msaada
Tafadhali piga simu huduma kwa mteja : 026-2160210 au 0735-160210
Job application
“My name is Kondela Luhende Duwa. I hold a Bachelor of Science in Biology from the University of Dodoma (UDOM), with a strong foundation in laboratory techniques, data analysis, and biological research. I am eager to apply my knowledge and skills to contribute effectively to your organization.”
My name is Kondela Luhende Duwa. I hold a Bachelor of Science in Biology from the University of Dodoma (UDOM), with a strong foundation in laboratory techniques, data analysis, and biological research. I am eager to apply my knowledge and skills to contribute effectively to your organization